Nilienda kutembelea mtaa maarufu huku California uitwao Downtown Manhattan Beach๐ด. Ukitazama video hii utaweza kuona jinsi mazingira yalivyo na shughuli ambazo watu hufanya wakiwa maeneo hayo.
Pia nakuomba usubscribe ili usimiss video mpya nitakazokua nikipost. Asante kwa kutazama, Nakupenda sana!
My previous video;
๐ธFOLLOW ME ON;
INSTAGRAM: https://www.instagram.com/jacchalz
TikTok: https://www.tiktok.com/@jackchalz?_t=8aAkPhjhOMV&_r=1
My Other Channel: https://www.youtube.com/channel/UCWqIfo8-Ztk-9LY0z9n-F5w
#jackwausa #california #manhattanbeach
36 Comments
ukipiga kazi kwa bidii kila kitu kinawezeka
Sasa naiyona GTA 5 live
Viongozi wetu ndo wamesababisha tumekuwa maskini rais anauuza bandari unategemea nini
Ahsante, watu wanapambana na maisha big up brother.
Jack mambo naomba nije nikutembelee
nilichokigundua hawa wazungu wakiwa kwao hata sehemu za karibu na fukwe huwa wanavaa stara lkn wakija kwetu huku wanatembea na vi bikini kila kona, haswa huku kwetu zanzaibar sehemu za beach kama Nungwi Kiwengwa, au stone town, wamekuwa wakitembea uchi kuliko kwao
BOnge contents
Hila hao watoto wanakera sana kututambua kama maskini Africa ๐ข๐ข..Viongozi wetu wamefeli sana kuwa ombaomba
Inapendez sn nch ya mashog mpk rauc wao chok ๐ฎ
Subirini viboko vya Mwenyezi Mungu wapumbavu nyie.
Jack kaka ishi miaka miaka mingi nakubar unacho fanya
โคโค
man hatani nijina la mtu au?
Jack Asante kwahii videos
Kumbe kunanyumb za chini km kwetu
Afu mji huo unafanana na Zanzibar๐
Unyama mwingi
Wow! What a nice presentation! Keep it up, Jack.
Mimi ningefurahi sana.kama.ungekuja africa ukaitangaza Afrika katika dunia. Kuliko kwenye hayo mataifa yasiomtambua mungu itangaze afrika na nchi yako mungu ibariki afrika
Good job jack
Kikubwa unatufuw macho kam wezetu wanaish vizuli mung akubali usichoke
Unatisha
Aiseeee the only few things they are thought is about poverty and not richness(wealth) this is very bad, OOOhhh my God
Presentation kali sana ndugu.. Jirani yako apa tokea Nairobi Kenya
Kumbe marekani pia nipakawaidatu nikama tanzaniatu
ROAD TO 100K โคโค
Unapenda watoto sio haha cool
Yaan kusemakwel nimeshatembea Manhattan us ๐๐๐ nashukurusana Mr Jack Ila Kama wale watoto wadogo ulokutana nao maraya kwanza wanakfaham broo ๐๐๐๐ ๐ ๐๐๐
Kijana five stars. Wewe zaidi ya Bakhresa. ***
Thanks for the tour !
safi sana ila ungeku wana.tusa idiya sisi wa congolaise kusema ki swahili ju ss atujuwi english
Jack I like your content.. you're good.. ebu hiyo wasap namba yako!
Please SUPPORT me by joining here;
https://patreon.com/JackWaUSA
Bro unanijenga sana
Kaka siku hukopata muda tembelea katika show room ya min Cooper car
Bro hiyo camera unayo tumia nimeipenda bro
Nataka kuijua